Headlines News :
Home » » Askali nane wakamatwa juu ya kifo cha Ally Zona morogoro

Askali nane wakamatwa juu ya kifo cha Ally Zona morogoro

Written By Unknown on Monday, 10 September 2012 | 08:25

Habari zilizotufikia punde ni kwamba askari wanane (8) wamekamatwa mkoani Morogoro kwa tuhuma za mauaji ya Muuza magazeti Ali Zona wakati wa maandamano ya Chadema yaliyofanyika mwezi uliopita mjini humo.

-Mjini Iringa mtuhumiwa wa mauaji ya Daudi Mwangosi hakuweza kufikishwa mahakamani leo kama ilivyokuwa imepangwa.

-IGP Mwema bado yupo Iringa anahaha kuzungumza na viongozi wa dini kusaidiwa kupoza mambo katika jamii kuhusu tukio la kuuawa kwa mwandishi wa habari Daudi Mwangosi, tukio ambalo limeonekana kugusa hisia kali miongoni mwa wanajamii mkoani humo.
Share this article :

0 comments:

Speak up your mind

Tell us what you're thinking... !

Followers

SEARCH THIS BLOG

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Proudly powered by Blogger
Copyright © 2011. Habari Bongo - All Rights Reserved
Template Design by Creating Website Published by Mas Template