Headlines News :
Home » , » CCM yamgwaya Dk. Slaa

CCM yamgwaya Dk. Slaa

Written By Unknown on Saturday, 15 September 2012 | 09:22

SIKU moja baada ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kumfungulia kesi Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi, Nape Nnauye, CCM imesema haina mpango wa kukishtaki chama hicho kutokana na kudai kinaingiza silaha nchini. Akizungumza na Tanzania Daima jana kwa njia ya simu, Nape alisema chama hicho hakitafanya hivyo kwa kuwa kinaendelea kukijenga chama.

“Hutuendi mahakamani kuishtaki CHADEMA kwa kile walichodai kuwa CCM inaingiza silaha nje ya kanuni zilizowekwa na nchi,” alisema Nnauye.
Hivi karibuni, Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dk. Willibrod Salaa, akiwa mkoani Morogoro alinukuliwa akisema CCM imeingiza silaha nchini bila kibali, ili zitumiwe na vijana wao kukabiliana na wapinzani.
Share this article :

0 comments:

Speak up your mind

Tell us what you're thinking... !

Followers

SEARCH THIS BLOG

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Proudly powered by Blogger
Copyright © 2011. Habari Bongo - All Rights Reserved
Template Design by Creating Website Published by Mas Template