Home »
» CUF warindima jangwan
CUF warindima jangwan
Written By Unknown on Sunday, 9 September 2012 | 13:33
Sasa CUF wako jangwani na wanawachana wau wa CDM ati hawana hazina ya viongozi kwa hoja kuwa kila mwaka wa uchaguzi ukifika wanaenda kuomba watu wa CCM wagombee kama ilivykuwa kwenye ishu ya kumuomba JK agombee urais kama asingechaguliwa ndani ya CCM.
Pia wanasema CDM wao hawana hazina ya viongozi maana Mwenyekiti wao hana elimu zaidi ya kujua elimu ya biashara ya kupiga disko.
Wanasema CDM ni sawa na CUF maana hata kada tajiri wa CCM anawasaidia CDM badala ya CUF.
0 comments:
Speak up your mind
Tell us what you're thinking... !