Headlines News :
Home » » Hali ni tete jimboni kwa Mh.Willium Mganga Ngereja

Hali ni tete jimboni kwa Mh.Willium Mganga Ngereja

Written By Unknown on Sunday, 9 September 2012 | 14:44


Hii ni baada ya Mh.Ngereja kunyakuliwa tonge mdomoni,hali yakisiasa jimboni kwake sengerema imekua inamchanganya hadi kupelekea kushindwa kujitokeza kwa wananchi wake kuwahotubia,habali za kuaminika toka jimboni humo zinasema mbunge huyu amekua akitoa ahadi za uongo zilizopelekea mbunge huyu kukosa mvuto kabisa jimboni humo,Mh.Ngereja amechinja ng'ombe wengi kuwavuta wanchi hawa lakini jitihada hizo zimegonga mwamba mpaka tunaingia mitamboni.
Share this article :

0 comments:

Speak up your mind

Tell us what you're thinking... !

Followers

SEARCH THIS BLOG

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Proudly powered by Blogger
Copyright © 2011. Habari Bongo - All Rights Reserved
Template Design by Creating Website Published by Mas Template