Headlines News :
Home » » Jaji Mbarouk apelekwa uingereza kupata mafunzo

Jaji Mbarouk apelekwa uingereza kupata mafunzo

Written By Unknown on Wednesday, 12 September 2012 | 02:22

mahakama ya tanzania inatarajia kupeleka jumla ya majaji wanne wa mahakama ya rufaa na mahakama kuu katika chuo mashuhuri kijulikanacho kwa jina la 'RIPA INTERNATIONAL' kilichopo nchini uingereza kushiriki mafunzo ya muda mfupi yanayohusiana na maadili ya mahakama(judicial ethics)..majaji watakaokwenda kupata mafunzo hayo ni;january msofe,MBAROUK MBAROUK wa mahakama ya rufani..wengine ni stella mugasha na shaabanlila wa mahakama kuu
mafunzo ni ya wiki moja kuanzia tarehe 24.09.12 london uingereza.
Share this article :

0 comments:

Speak up your mind

Tell us what you're thinking... !

Followers

SEARCH THIS BLOG

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Proudly powered by Blogger
Copyright © 2011. Habari Bongo - All Rights Reserved
Template Design by Creating Website Published by Mas Template