Headlines News :
Home » » Jaji Mkuu Kushiriki Hukumu ya Lema.

Jaji Mkuu Kushiriki Hukumu ya Lema.

Written By Unknown on Wednesday, 12 September 2012 | 02:30


Jaji Mkuu Wa Tanzania, Othman Chande atakuwa mmojawapo katika jopo la majaji watakaoshiriki kupitia na kisha kutoa maamuzi katika rufani ya kesi Na 47/2012 ya aliyekuwa Mbunge wa Arusha Mjini, God bless Lema.
Binafsi sifahamu kushirikishwa kwa Mh.Jaji Mkuu huwa ni hiari yake au inategemeana na uzito wa kesi, au na yeye huwa yumo kwenye roster, lakini huenda kwa shauri hili la Lema ikawa na maana yake maalum!
Lets wait.
Share this article :

0 comments:

Speak up your mind

Tell us what you're thinking... !

Followers

SEARCH THIS BLOG

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Proudly powered by Blogger
Copyright © 2011. Habari Bongo - All Rights Reserved
Template Design by Creating Website Published by Mas Template