Headlines News :
Home » » MKUU WA WILAYA YA SENGEREMA AWACHAFUA MAKARANI WA SENSA WILAYANI HUMO.

MKUU WA WILAYA YA SENGEREMA AWACHAFUA MAKARANI WA SENSA WILAYANI HUMO.

Written By Unknown on Tuesday, 11 September 2012 | 08:39


Mkuu wa wilaya ya sengerema Mwl.Karen Yunus alalamikiwa vikali na makarani na wasimamizi wa zoezi la sensa kwa kuwalazimisha makarani hao kutoa pesa kila mmoja Tsh.2000/= akidai pesa hiyo itatumika kufanikisha shughuli za mwenge wilayani hapo,mkuu huyo alisisitiza kusema inawalazimu kutoa pesa hiyo kama pia kuludisha fadhila kwake,maana niwengi waliachwa katika zoezi hilo bali wao wamepata hivo wawe namoyo wakutoa shukrani,aliendelea kutoa vitisho kwayeyote ambae hatatoa pesa hiyo atashughulikiwa vikali hali iliyopelekea makarani hao kutoa pesa hiyo wakiogopa kushughulikiwa na mkuu huyo,kutoka sengerema taarifa za kuaminika zinasema mkuu wa wilaya huyo ameenda wilayani humo sio kutatua matatizo ya wanasengerema bali kuendelea kuwaumiza kila kunapokucha.
Share this article :

0 comments:

Speak up your mind

Tell us what you're thinking... !

Followers

SEARCH THIS BLOG

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Proudly powered by Blogger
Copyright © 2011. Habari Bongo - All Rights Reserved
Template Design by Creating Website Published by Mas Template