Headlines News :
Home » » picha: HECHE ALIZA WAKAZI WA KEKO( TEMEKE)

picha: HECHE ALIZA WAKAZI WA KEKO( TEMEKE)

Written By Unknown on Sunday, 9 September 2012 | 23:13





MWKT WA BAVICHA TAIFA NDG JOHN HECHE leo amewaliza wakazi wa keko alipokuwa akihutubia mkutano wa hadhara uliofanyika kwa nia ya kupokea wanachama zaidi ya 51 walioamua kuvua gamba,
kijana aliamua kusema misemo na falsafa nyingi zilizojikita kulaani wimbi la mauaji linalokuwa kwa kasi hapa nchini

1 "watu wabaya wanatamalaki siyo kwamba wana nguvu sana bali ni kwa sababu wema tumekaa kimya tukiwatazama"
2" polisi wameandaliwa kutuuwa mimi nasema watatuuwa sana lakini hawataua fikra zetu "
3"hatuko tayari tena kuona uhalifu huu ukiendelea mimi kama kiongozi wa vijana sasa niko tayari kuandamanisha mpaka watoto kudai haki ya kuishi ya watu inayotwaliwa na polisi"
utekaji nyara , migomo, hali ya maisha kuporomoka na raisi kuwa omba omba nazo zilikuwa moja ya mazungumzo ya mh heche
Share this article :

0 comments:

Speak up your mind

Tell us what you're thinking... !

Followers

SEARCH THIS BLOG

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Proudly powered by Blogger
Copyright © 2011. Habari Bongo - All Rights Reserved
Template Design by Creating Website Published by Mas Template