Headlines News :
Home » » CCM Wakejeli vikali Maandamano ya Waandishi!

CCM Wakejeli vikali Maandamano ya Waandishi!

Written By Unknown on Wednesday, 12 September 2012 | 03:11


Waziri wa Mambo ya Ndani Dk. Emmanuel Nchimbi akiondoka uwanjani baada ya waandishi wa habari kumtaka aondoke, mambo mawili ya kushangaza yaliojiri ni kwamba waandishi wamemtaka waziri aondoke lakini ndio wamekuwa wa kwanza kumhoji kama anavyoonekana pichani pili waandishi hao hao wakampa nafasi Dk Xavery Rweitama wa Chadema kuongea kama rafiki wa waandishi wa habari... Jamani taaluma hii na siasa ni vitu viwili tofauti.

Source: CCM Blog
Mytake:
Nape Nnauye ndo alizindua hii blog ya CCM na yeye ndo anapeleka habari hizi; inakuwaje Nape unakuwa na chuki na waandishi? Je mbona unabomoa chama chetu?


Share this article :

0 comments:

Speak up your mind

Tell us what you're thinking... !

Followers

SEARCH THIS BLOG

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Proudly powered by Blogger
Copyright © 2011. Habari Bongo - All Rights Reserved
Template Design by Creating Website Published by Mas Template